Vituko vya binti wa mama mwenye nyumba

Vituko vya binti wa mama mwenye nyumba

Mm niulize anaanika chupi za uchokozi zile bikibi style au hizi za kawaida km za kawaida usjal mkuu ni kawaida ila km na zile style za ajabu ajabu kila siku chukua moja alafu ukionana nae uwe unamsalimia kwa tabasamu la nguvu akianika tena iba nyengine alafu endeleza bashasha km
Anakutega utapata jibu km anaanika kwa kufata jua utajua tu
 
Una uhakika gani kuwa zote ni za binti wakati anaishia na Maza wake? tafuta tape measure upime moja moja ndio uthibitishe zake ni ngapi na za Maza ni ngapi.
 
Anataka kukuchonganisha na mpenzi wako ,azikute asuse mgombane aje yeye
 
Huyo anataka mtalimbo tu, we jamaa kweli jasiri muda wote huo badala ya kumaliza unaleta ujinga. Kamata maliza, au demu ana sura ngumu???
 
Sasa dume zima unalalamika nn sasa unatoa milio tuu kama landrover la jeshi kula mzigo mambo yaishe mambo mengine siyo ya kuomba ushauri wa chuo kweli au ndiyo unabalehe.
Ha ha ha tena freelader manual.
 
Chupi kuanikwa SIYO moja ya mitego ya akina dada hapa mjini!Angefanya mambo flan amazing ndiyo mitego
 
Asalaam wana bodi.
Mimi ni kijana nimemaliza chuo miaka mitatu imepita,sijaoa,nikabahatika kupata chumba cha kupanga hapa mjini, na nimekaa hapa kwa takribani miaka miwili sasa.,cha kusangaza ni tabia ya binti wa mother house kwa siku za hivi karibuni imebadilika sana.,akifua nguo anaanika vyupi vyake kwenye kamba iliyopo jirani na dirisha langu tena anazisogeza upande wa nyumba nnayoishi,wakati upande we nyuma ya nyumba yao kubwa kuna kamba za kutosha za kuanikia nguo,yeye anakuja kuanikia upande wangu,wakati mwingine utakuta chupi mbili kazitandaza pembezoni kabisa jirani na dirisha. Leo nimetoka kazin mapema kidogo ili niwahi kufua cha.kushangaza ile nafika nakuta kamba imejaa vyupi na blazia mpka ikabid niahirishe. Nimevumilia nimeshindwa naomba ushauri wakuu nifanyeje,maana nguo nyingne anaanika kwenye kamba nyingine lakin zake za ndani lazima aanike jirani na dirisha langu.
Nimechoka wakuu.

Sijaona hata kituko kimoja cha huyo binti ila hapo wewe ndio kituko
 
Kama yeye anajua kufua na kuanika wewe mwambie utamsaidia kuanua na kupiga pasi.
 
Asalaam wana bodi.
Mimi ni kijana nimemaliza chuo miaka mitatu imepita,sijaoa,nikabahatika kupata chumba cha kupanga hapa mjini, na nimekaa hapa kwa takribani miaka miwili sasa.,cha kusangaza ni tabia ya binti wa mother house kwa siku za hivi karibuni imebadilika sana.,akifua nguo anaanika vyupi vyake kwenye kamba iliyopo jirani na dirisha langu tena anazisogeza upande wa nyumba nnayoishi,wakati upande we nyuma ya nyumba yao kubwa kuna kamba za kutosha za kuanikia nguo,yeye anakuja kuanikia upande wangu,wakati mwingine utakuta chupi mbili kazitandaza pembezoni kabisa jirani na dirisha. Leo nimetoka kazin mapema kidogo ili niwahi kufua cha.kushangaza ile nafika nakuta kamba imejaa vyupi na blazia mpka ikabid niahirishe. Nimevumilia nimeshindwa naomba ushauri wakuu nifanyeje,maana nguo nyingne anaanika kwenye kamba nyingine lakin zake za ndani lazima aanike jirani na dirisha langu.
Nimechoka wakuu.
Bro mbona rahisi tu,sasa fanya hivi,siku ataanika chupi zake hapohapo anapoanika kila siku wewe fua chupi zako uanike juu ya chupi zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom