Vituko vya binti wa mama mwenye nyumba

Vituko vya binti wa mama mwenye nyumba

We endelea na maisha yako.. ukiona zimekauka unamsaidia kuanua unampelekea . Hatarudia tena..
 
Kwan chupi Ina ajabu Gan usipoivaa ndo Unakuwa wa ajabu ulitaka aanike chaga ya kitandani? akuuuuu zangu nazitandaza nje bila woga... sitaki Fungus kwenye papuche
Flora msoffe.,mwenzio pia anazianika isipokuwa namna anavyozianika ndo balaa..
 
Inawezekana chumba chako kiko katka uchochoro, binti anaficha chupi zake we unasema anakutaka...
 
Asalaam wana bodi.
Mimi ni kijana nimemaliza chuo miaka mitatu imepita,sijaoa,nikabahatika kupata chumba cha kupanga hapa mjini, na nimekaa hapa kwa takribani miaka miwili sasa.,cha kusangaza ni tabia ya binti wa mother house kwa siku za hivi karibuni imebadilika sana.,akifua nguo anaanika vyupi vyake kwenye kamba iliyopo jirani na dirisha langu tena anazisogeza upande wa nyumba nnayoishi,wakati upande we nyuma ya nyumba yao kubwa kuna kamba za kutosha za kuanikia nguo,yeye anakuja kuanikia upande wangu,wakati mwingine utakuta chupi mbili kazitandaza pembezoni kabisa jirani na dirisha. Leo nimetoka kazin mapema kidogo ili niwahi kufua cha.kushangaza ile nafika nakuta kamba imejaa vyupi na blazia mpka ikabid niahirishe. Nimevumilia nimeshindwa naomba ushauri wakuu nifanyeje,maana nguo nyingne anaanika kwenye kamba nyingine lakin zake za ndani lazima aanike jirani na dirisha langu.
Nimechoka wakuu.
Next time Subiri zikauke kisha zianue zipige pasi na kuzikunja vizuuuri na kuzipulizia manukato ya gharama kisha kamuwekee mlangoni pake
 
unafkria sisi tutakushauri kipi juu ya hilo..
we mwambie asianike hiyo tabia hupend au kama vp hama
 
Sasa dume zima unalalamika nn sasa unatoa milio tuu kama landrover la jeshi kula mzigo mambo yaishe mambo mengine siyo ya kuomba ushauri wa chuo kweli au ndiyo unabalehe.
 
Hujawah hata kuongea naye ili tujue kama alikaidia unakuja kutaka ushauri,ongea naye kwanza mkuu
 

Attachments

  • 1452921307968.jpg
    1452921307968.jpg
    7.7 KB · Views: 379
Mkuu, mimi naona kama unajitega mwenyewe labda kama kuna mengine anayofanya kuashiria ya ziada.
 
Kama si leo basi kesho lazima shetani ahukuimiwe. Kama haya yote ni chupi tu kwenye kama ukiona paja? Kila la kheri
 
ww unamatatizo ya saikolojia nyie ndo wale mnaweza kuzuga kupiga simu kumbe akili yako ipo kwenye kuangalia chupi ya kike iliyoanikwa.
 
Asalaam wana bodi.
Mimi ni kijana nimemaliza chuo miaka mitatu imepita,sijaoa,nikabahatika kupata chumba cha kupanga hapa mjini, na nimekaa hapa kwa takribani miaka miwili sasa.,cha kusangaza ni tabia ya binti wa mother house kwa siku za hivi karibuni imebadilika sana.,akifua nguo anaanika vyupi vyake kwenye kamba iliyopo jirani na dirisha langu tena anazisogeza upande wa nyumba nnayoishi,wakati upande we nyuma ya nyumba yao kubwa kuna kamba za kutosha za kuanikia nguo,yeye anakuja kuanikia upande wangu,wakati mwingine utakuta chupi mbili kazitandaza pembezoni kabisa jirani na dirisha. Leo nimetoka kazin mapema kidogo ili niwahi kufua cha.kushangaza ile nafika nakuta kamba imejaa vyupi na blazia mpka ikabid niahirishe. Nimevumilia nimeshindwa naomba ushauri wakuu nifanyeje,maana nguo nyingne anaanika kwenye kamba nyingine lakin zake za ndani lazima aanike jirani na dirisha langu.
Nimechoka wakuu.
Mjomba Mkude hilo nalo tatizo,fanya mpango umuoe mchumbako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom