GE2025 Vituko vya Aggrey Mwanri akiomba kura kwa Wajumbe CCM

GE2025 Vituko vya Aggrey Mwanri akiomba kura kwa Wajumbe CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Vituko vya Aggrey Mwanri ambaye aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora wakati akiomba kura kwa wajumbe wa CCM kwa ajili ya kupata ridhaa ya kuwa mbunge wa Jimbo la Siha Wilaya ya Siha Mkoa wa Kilimanjaro

Soma Pia: GE2025 - Aggrey Mwanri avunja wajumbe mbavu akiomba kura za maoni



Chanzo: ITV DIGITAL
 
Hawa wakiwa madarakani ndiyo kila siku husema vijana wajiajiri wakati wao Kila siku wanajidurufu (recycling) kwenye nafasi za siasa zilizopo.

Kwa nini wao Kwa zaidi ya miaka 40 wameshindwa kujiari!?
 
Kama kuna umri wakutimizia ili uwenkiongozi basi kuwe na umri pia wakutohombea kuwe na ukomo ushakula hadi mafao qmmk unagombea tena ili uje kufanya nini?
 
Huyu wajumbe wampitishe tu sasa hadi kaimba.
Vituko vya Aggrey Mwanri ambaye aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora wakati akiomba kura kwa wajumbe wa CCM kwa ajili ya kupata ridhaa ya kuwa mbunge wa Jimbo la Siha Wilaya ya Siha Mkoa wa Kilimanjaro

 
Back
Top Bottom