Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,434
- 7,094
Ni kweli mkuu ....Haya Mkuu!! Wakati mwingine kunahitaji akili kubwa ili uweze kufanya uongo ufanane na kweli.
Ila ukiwa muongo uwe mjanja na siku hizi hakuna mjinga!
Tatizo liko hapo yaani...
Ila unafik ni mbaya zaidi maana unajumlisha yote mpaka na ule uongo!
Matokeo inakuwa mtego wa panya... .... tena buku khasa lililokomaa!
wanaumia wengi !