Waunguja na Wapemba nje ya Muungano sijui hata kama wataweza kuishi pamoja bila kuvurugana
Kuna hawa masheha wana ubaguzi wa hali ya juu sana dhidi ya Wapemba, na huu ubaguzi una baraka zote za Serikali
Mkuu tatizo sio waunguja na Wapemba, Tatizo ni CCM. CCM ndio wanaouendesha huo ubaguzi.