Wageni na Watanzania wenye asili za Asia wote wana Vitambulisho vya NIDA

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,712
6,508
Ukisikia uhaba wa Vitambulisho vya NIDA usifikiri ni kwa wote, ni Watanganyika pekeee ndio wanao tembea na number badala ya Kitambulisho, wageni wanavyo sasa sijajua Wageni na Watanzania wenye asili ya Asia wana vipata vipi ila nachojua wao wana vitambulisho wote, Sasa jiulize wao wanavipataje? Na kwa nini Watanganyika na wao wasvipate kama hao wageni?

NIDA ni bahati mbaya kwamba inaoenekana ina Backup kutoka juu kwa ujinga wanao ufanya, haiwezekani ni Watanganyika pekee ndio wanao kosa vitambulisho huku Wageni na watu wengine wakipewa bila tatizo.

Mwezi uliopita nilishangaa Mtanzania mmoja mwenye asili ya Asia lipoteza NIDA yake na akapata mpya ndani ya siku 6, ndani ya siku 6 aka printiwa KADI mpya wakati Watanganyika wana miaka 5 hawajapata hizo kadi.

Pale Dododoma kila Mwaka wale Wabunge wamekuwa wana danganywa tu kuhusu Vitambulisho na wao wanaishia kupiga makofi tu.
 
Ukisikia uhaba wa Vitambulisho vya NIDA usifikiri ni kwa wote, ni Watanganyika pekeee ndio wanao tembea na number badala ya Kitambulisho, wageni wanavyo sasa sijajua Wageni na Watanzania wenye asili ya Asia wana vipata vipi ila nacho jua wao wana vitambulisho wote, Sasa jiulize wao wanavipataje? Na kwa nini Watanganyika na wao wasvipate kama hao wageni?

NIDA ni bahati mbaya kwamba inaoenekana ina Backup kutoka juu kwa ujinga wanao ufanya, haiwezekani ni Watanganyika pekee ndio wanao kosa vitambulisho huku Wageni na watu wengine wakipewa bila tatizo.

Mwezi uliopita nilishangaa Mtanzania mmoja mwenye asili ya Asia lipoteza NIDA yake na akapata mpya ndani ya siku 6, ndani ya siku 6 aka printiwa KADI mpya wakati Watanganyika wana miaka 5 hawajapata hizo kadi.

Pale Dododoma kila Mwaka wale Wabunge wamekuwa wana danganywa tu kuhusu Vitambulisho na wao wanaishia kupiga makofi tu.
Nina rafiki yangu anaishi Australia alikuja siku moja nchini aka'apply' kupata kitambulisho cha taifa NIDA na akapewa ndani ya masaa 24! Nadhani ni hela yako tu!
 
Kwa sababu Wahindi na Waarabu ni first class citizens Tanzania ni urithi wa Ukoloni, Wahindi wana kila kitu wana documents zote za kuthibitisha Utanzania wao tangia Ukoloni, Watanzania weusi > 85% hawana chochote, kwa kifupi nchi ninya Wahindi ingawaje wengi hawalitambui hilo, wakati wa Ukoloni sisi hatukuwa raia wa English monarchy tulikuwa third class, na baada ya Uhuru hakuna kilichobadilika, …
 
Ukisikia uhaba wa Vitambulisho vya NIDA usifikiri ni kwa wote, ni Watanganyika pekeee ndio wanao tembea na number badala ya Kitambulisho, wageni wanavyo sasa sijajua Wageni na Watanzania wenye asili ya Asia wana vipata vipi ila nacho jua wao wana vitambulisho wote, Sasa jiulize wao wanavipataje? Na kwa nini Watanganyika na wao wasvipate kama hao wageni?

NIDA ni bahati mbaya kwamba inaoenekana ina Backup kutoka juu kwa ujinga wanao ufanya, haiwezekani ni Watanganyika pekee ndio wanao kosa vitambulisho huku Wageni na watu wengine wakipewa bila tatizo.

Mwezi uliopita nilishangaa Mtanzania mmoja mwenye asili ya Asia lipoteza NIDA yake na akapata mpya ndani ya siku 6, ndani ya siku 6 aka printiwa KADI mpya wakati Watanganyika wana miaka 5 hawajapata hizo kadi.

Pale Dododoma kila Mwaka wale Wabunge wamekuwa wana danganywa tu kuhusu Vitambulisho na wao wanaishia kupiga makofi tu.

Mkuu

Usichanganye mambo.

Tuna aina tatu ya vitambulisho vya NIDA.

1) Wazawa hawa wana jaza fomu namba A1
2) Wageni( Legal) / Wakimbizi hawa wana jaza fomu namba A2
3) Mabalozi ( Diplomatics)

Naomba nizungumzie namba (2)

Hiyo kadi unayoisemea wewe iko kwenye kipengele hicho ambavyo vimesajaliwa kwendana na kibali chake cha kuishi hapo nchini. (Miaka miwili)

Hiyo kadi hapewi Bure kama wewe, Inauzwa $55 kwendana na daraja lake la kibali cha makazi.

NIDA wanafanya kazi nzuri sana, wanapaswa kupongezwa na si kubezwa.

ID za wazawa zinachelewa kutokana kwamba zinapita ngazi mbalimbali za kiutendaji.
 
Sio vitambulisho tu vya nida wana mpaka pasport za kitanzania Na uongozi mzima wa serikali unajua na hakuna wa kuwafanya chochote kibaya zaidi sio raia rasmi wa Tanzania yaani hawana uraia kisheria wa kitanzania fucktap country ukiwa na pesa tu unaweza kulala na wena na ukamkataa ubaya
 
Kwa sababu Wahindi na Waarabu ni first class citizens Tanzania ni urithi wa Ukoloni, Wahindi wana kila kitu wana documents zote za kuthibitisha Utanzania wao tangia Ukoloni, Watanzania weusi > 85% hawana chochote, kwa kifupi nchi ninya Wahindi ingawaje wengi hawalitambui hilo, wakati wa Ukoloni sisi hatukuwa raia wa English monarchy tulikuwa third class, na baada ya Uhuru hakuna kilichobadilika, …

Ndio maana wahindi wengi wanaishi town tu, posta na mailala huko sisi tumejazana mbagala kajamba nani
 
Pesa huna, maisha yako ya kuunga unga - magumu alafu unataka kitambulisho simple simple tu eeh!.

Alafu unasahau kuwa upo bara gani hili.
We mjinga sikiliza, ni haki ya Raia kuwa na Kitambulisho sio swala la pesa wala nini? Nchi imejaa vilaza sana hii, kwamba kika kitu lazima uhonge? Hata vile ambayo wewe ni haki yako kuvipata? Kwa akili zako fupi unaona ni ujanja?
 
Mkuu

Usichanganye mambo.

Tuna aina tatu ya vitambulisho vya NIDA.

1) Wazawa hawa wana jaza fomu namba A1
2) Wageni( Legal) / Wakimbizi hawa wana jaza fomu namba A2
3) Mabalozi ( Diplomatics)

Naomba nizungumzie namba (2)

Hiyo kadi unayoisemea wewe iko kwenye kipengele hicho ambavyo vimesajaliwa kwendana na kibali chake cha kuishi hapo nchini. (Miaka miwili)

Hiyo kadi hapewi Bure kama wewe, Inauzwa $55 kwendana na daraja lake la kibali cha makazi.

NIDA wanafanya kazi nzuri sana, wanapaswa kupongezwa na si kubezwa.

ID za wazawa zinachelewa kutokana kwamba zinapita ngazi mbalimbali za kiutendaji.
Wape darsa

FaizaFoxy
 
Nina rafiki yangu anaishi Australia alikuja siku moja nchini aka'apply' kupata kitambulisho cha taifa NIDA na akapewa ndani ya masaa 24! Nadhani ni hela yako tu!
Haya maisha sasa ya Kuhonga hadi lini? Vipi kwa ndugu zetu kule Vujijini wasionweza kuhonga? Hatuwezi kuwa Taifa kwa wajinga la kuwaza kuhonga hata manbo ya msingi kabisa
 
Kwa sababu Wahindi na Waarabu ni first class citizens Tanzania ni urithi wa Ukoloni, Wahindi wana kila kitu wana documents zote za kuthibitisha Utanzania wao tangia Ukoloni, Watanzania weusi > 85% hawana chochote, kwa kifupi nchi ninya Wahindi ingawaje wengi hawalitambui hilo, wakati wa Ukoloni sisi hatukuwa raia wa English monarchy tulikuwa third class, na baada ya Uhuru hakuna kilichobadilika, …
Kwani hadi unapewa number ya NIDA si maana yake uko apprived? Kwa hio wanapewa kwa sababu wana Documents zote? Hii iko kwenye Mashariti ya NIDA au ndio akili zako zinakutuma
 
Mkuu

Usichanganye mambo.

Tuna aina tatu ya vitambulisho vya NIDA.

1) Wazawa hawa wana jaza fomu namba A1
2) Wageni( Legal) / Wakimbizi hawa wana jaza fomu namba A2
3) Mabalozi ( Diplomatics)

Naomba nizungumzie namba (2)

Hiyo kadi unayoisemea wewe iko kwenye kipengele hicho ambavyo vimesajaliwa kwendana na kibali chake cha kuishi hapo nchini. (Miaka miwili)

Hiyo kadi hapewi Bure kama wewe, Inauzwa $55 kwendana na daraja lake la kibali cha makazi.

NIDA wanafanya kazi nzuri sana, wanapaswa kupongezwa na si kubezwa.

ID za wazawa zinachelewa kutokana kwamba zinapita ngazi mbalimbali za kiutendaji.
Naongelea Watanzania wenye asili ya Asia, haya maelezo yako nayalewa sana, naongelea Watanzania siongelei Diplomacy, na oia tambua kuna Wagenni nji za jirani wana Vitambulisho vya urai hao ndio ninao zungumzia,
 
Back
Top Bottom