Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1701102021707.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivyo viungo vikichanganywa mlaji anakata moto ASAP?

Nilishajaribu kutaka kuchovya kipande cha tango kwenye asali aisee nilikanywa na kugombezwa mno kwamba ningekufa mara moja. Ni imani iliyoenea katika makabila mengi.

Binafsi nimefurahi kuona wanasayansi wakiisambaratisha...japo nawe umekuja na ngonjera zako zisizo na kichwa wala miguu
Waelewe wazee basi wanachomaanisha, hii haikuwa simu ya kisayansi kama uliyoizoea. Tango yamaanisha uume na asali yamaanisha uke, ukivichanganya pamoja hivi nadhaNi unaelewa kinamaanisha nini. Wazee wa zamani walibeba mafumbo
 
Back
Top Bottom