Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Maneno ya shabiki
Screenshot_20231126-082019.jpg
 
View attachment 2826543


Yanga kupigwa cha mbavu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni waliotoa sare 👇

IMG-20231126-WA0017.jpg


Baada ya uchawi wao kuchimbuliwa 👇

IMG-20231126-WA0029.jpg


Kumbe ni maumivu ya 5G 👇



Halafu kwa mbali anafuatia Giggy Mane!
 
Siku nyingine hayo maneno muyaelewe na hao wataalamu wasitumie elimu kutoa maana ya kitu ambacho hakijamaanishwa kwenye taaluma yao. Hayo maneno ya wazee wa zamani, Tango ni kiungo cha uzazi na asali ni kiungo cha uzazi
Sasa hivyo viungo vikichanganywa mlaji anakata moto ASAP?

Nilishajaribu kutaka kuchovya kipande cha tango kwenye asali aisee nilikanywa na kugombezwa mno kwamba ningekufa mara moja. Ni imani iliyoenea katika makabila mengi.

Binafsi nimefurahi kuona wanasayansi wakiisambaratisha...japo nawe umekuja na ngonjera zako zisizo na kichwa wala miguu 😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
Kiukweli ninafrahi tu,yanga kufungwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Nimefrah sana,maana wanaongea sana,

Wamefyata.
Yanga hawajaufyata...

Wamefungwa ugenini.....

Labda wakifungwa na nyumbani ndiyo wataufyata...

Hekaheka zipo huko kwa waliotoa sare. Ungekuwa unafuatilia ungejua kinachoendelea. Kila mmoja anajua kuna mgogoro mkubwa kati ya uongozi uliopo madarakani, mfadhili na wachezaji....

Usifurahie Yanga kufungwa ugenini. Sikitika kutoa sare nyumbani tena kwa pira lile la papatu papatu kama Rugby....mpaka akina Rage wanakiri!



 
Babu, inamaana mie ni shabiki maandazi[emoji23][emoji23][emoji23],


Lkn yanga si wamefungwa tatu bila??
Mjukuu unanisumbua tu bure!

Kula chuma hicho 👇👇👇 halafu uache kunisumbua. Hauko objective! 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

 
Mjukuu unanisumbua tu bure!

Kula chuma hicho [emoji116][emoji116][emoji116] halafu uache kunisumbua. Hauko objective! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]

View attachment 2826763
Sawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],
 
Sawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],
Yeah!

Tulipigwa tatu kavu dah! 🙈

 
Back
Top Bottom