Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20231127-114834.jpg
 
Siku nyingine hayo maneno muyaelewe na hao wataalamu wasitumie elimu kutoa maana ya kitu ambacho hakijamaanishwa kwenye taaluma yao. Hayo maneno ya wazee wa zamani, Tango ni kiungo cha uzazi na asali ni kiungo cha uzazi
Sasa hivyo viungo vikichanganywa mlaji anakata moto ASAP?

Nilishajaribu kutaka kuchovya kipande cha tango kwenye asali aisee nilikanywa na kugombezwa mno kwamba ningekufa mara moja. Ni imani iliyoenea katika makabila mengi.

Binafsi nimefurahi kuona wanasayansi wakiisambaratisha...japo nawe umekuja na ngonjera zako zisizo na kichwa wala miguu 😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
Kiukweli ninafrahi tu,yanga kufungwa


Nimefrah sana,maana wanaongea sana,

Wamefyata.
Yanga hawajaufyata...

Wamefungwa ugenini.....

Labda wakifungwa na nyumbani ndiyo wataufyata...

Hekaheka zipo huko kwa waliotoa sare. Ungekuwa unafuatilia ungejua kinachoendelea. Kila mmoja anajua kuna mgogoro mkubwa kati ya uongozi uliopo madarakani, mfadhili na wachezaji....

Usifurahie Yanga kufungwa ugenini. Sikitika kutoa sare nyumbani tena kwa pira lile la papatu papatu kama Rugby....mpaka akina Rage wanakiri!



 
Back
Top Bottom