Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1699174414740.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MAMBO YA KUJARIBU JARIBU OVYO

Jamaa alinunua kifaa cha kukamulia ng'ombe maziwa

Alipofika kwake akasema:
Ngoja nikijaribu'
Akakivaa kwenye uume akakiwasha

Kikawa kinamtekenya mpaka akafunga goli

Sasa akawa anaangalia pakuzimia hapaoni

Bahati nzuri akaona namba ya kampuni
Achaichukua akapiga simu ili kuwauliza aizime vipi

Wauzaji wao wakamjibu ikifika lita tano kitajizima chenyewe

Sasa hapa analia peke yake hajui afanyeje
FB_IMG_1699182227648.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usitumie nguvu nyingi sana kunitafuta niko apa mimi apa kijumla msiojua katapeliwa nini tuliagiza vitu china akanipa ela namimi nikatapeliwa na nimempa luhusa kwenda polis na mahakamani ni mtu tunafahamiana sana tumefanya biashara tumekula asala na sio ajui niliko anajua sana bas tu kamua akuna polisi anashundwa nitafuta nishampa baathi ya mizgo yake sasa milioni 2 nipe mm nambie nije wap tugawane ela au mtu aje anikamete anipeleke akipewa milion2 anipe milioni - 1
FB_IMG_1699182284944.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom