Lubumbashi
Lubumbashi
Hapo Usikute kuna mmoja alikuwa kamuelewa huyo Mrembo hivyo kujikuta akifata ule Usemi wetu Wazee "Ukipenda Chongo huita Kengeza"
Mambo mengine yanashangaza sana. Unauliwa kisha mnabishania ukubwa wa tako 😳Hapo Usikute kuna mmoja alikuwa kamuelewa huyo Mrembo hivyo kujikuta akifata ule Usemi wetu Wazee "Ukipenda Chongo huita Kengeza"
Binafsi hata Wife ndani, huwa sipendi tubishane kwa muda mrefu.Mambo mengine yanashangaza sana. Unauliwa kisha mnabishania ukubwa wa tako 😳
Mimi ninachojali ni biashara tu mkuu 😁😁😁Jaribu kuchunguza utagundua kwamba baadhi ya wateja wako wa kiume ni wagongwa feki, yaani wajifanya wanaumwa ili waje kwako uwapime