Diamond Platnumz baada ya show yake Kenya alifichua kwamba alitapeliwa Bilioni 4 alipoagiza ndege yake.
Harmonize naye amesema kuwa alitapeliwa Bilioni 7 alizokuwa amepanga kufungua Media yake. Zaidi ya hilo amesema kuwa serikali inaendelea kulifanyia kazi tukio hilo, sawa na alichosema Diamond pia.
Harmonize ameongea haya kwenye interview baada ya kuingia Kenya kwa ajili ya show yake jijni Nairobi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.