Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wanasema kuna Korona mpya iliyoboreshwa ipo mjini. Wenye shida za kiafya na wazee tuchukue tahadhari. RIP Le Mutuz

View attachment 2621258
Dah ukiwa offline siku moja tu ukirudi mengi yamebadilika .....
Taarifa za vifo vyote ndio najua leo so sad

Inalilah wainailah rajiun
Kila nafsi itaonja umauti..
 
FB_IMG_1683728034360.jpg
 
Kwa mujibu wa Katiba hii ya mwaka 1977 dhahabu ikikutwa shambani kwako aridhi ni ya serikali lakini bangi ikikutwa shambani kwako aridhi ni yako. Tunataka Katiba Mpya itakayotoa mamlaka ya umiliki ardhi kwa watu ili kama ardhi yenye bangi ni yako basi na yenye dhahabu iwe yako
 
Back
Top Bottom