Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Angalia utalimwa ban au kukatazwa kuingia kwenye uzi huu.

Huyu mama aliua kichanga chake sababu ya mental issues. Alitumikia kifungo cha miaka mitatu nadhani akaachiwa...Alichukuliwa na kampuni moja akawa polished aisee alipendeza sana.....
 
Angalia utalimwa ban au kukatazwa kuingia kwenye uzi huu.

Huyu mama aliua kichanga chake sababu ya mental issues. Alitumikia kifungo cha miaka mitatu nadhani akaachiwa...Alichukuliwa na kampuni moja akawa polished aisee alipendeza sana.....
Daaaah, aseee kumbe aliwahi kufungwa

Na ni mnaija huyu mkuu, we ulimjuaje mkuuu
 
View attachment 2622851
Wangapi waliteseka kutegua huu mtego wakiwa primary?

Unatakiwa uvushe mbuzi, chui na majani kwenda ng'ambo ya mto. Mtumbwi unaweza kubeba wewe na kimoja kati ya hivyo kwa mara moja....
Unachukua mbuzi unakwenda naye. Unarudi unachukua majani unakwenda nayo. Unarudi na mbuzi. Unamuacha mbuzi unamchukua chui. Unamuacha chui na majani halafu unamrudia mbuzi. Kazi kwisha! 👏👏👏👏
 
IMG_6878.jpg
 
Back
Top Bottom