Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Body count 30+ ๐๐๐๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ
Kwani kitambo kinauma? Hapana kwakweli
Mafuta ya tumboni siyo mazuri. Ni chanzo kimojawapo kikuu cha kansa, magonjwa ya moyo, presha na mengineyo. Wengine wakishindwa kuyaondoa kwa diet na mazoezi hukimbilia operation (liposuction) japo sikujua kama ni ghali hivyo!Kwani kitambo kinauma? Hapana kwakweli
Op hapana kwakweli, au Kwa vile sina helaMafuta ya tumboni na kifuani siyo mazuri. Ni chanzo kimojawapo kikuu cha kansa, magonjwa ya moyo, presha na mengineyo. Wengine wakishindwa kuyaondoa kwa diet na mazoezi hukimbilia operation (liposuction) japo sikujua kama ni ghali hivyo!



Kama una msambwanda usijali. Mafuta ya huko na ya mapajani yana faida nyingi. Yata-neutralize madhara ya haya ya tumboni japo naamini hata kitambi huna. Maumbo ya pisi za Kinyaki tunayajua! ๐ฅ๐ฅ๐ฅOp hapana kwakweli, au Kwa vile sina hela![]()
Milima kwa milima haikutani,hatimaye wakutana tena
๐ค
RiPWanasema kuna Korona mpya iliyoboreshwa ipo mjini. Wenye shida za kiafya na wazee tuchukue tahadhari. RIP Le Mutuz
View attachment 2621258