proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 7,315
- 11,100
hawa ni wa moto
hawa ni wa moto
Si angeanzia mwezini kwanza au hapa tu lower orbit kwenye satellites? Sasa kwenye Mars kwenda tu miezi saba duh! Au ana teknolojia mpya ya propulsion itakayopunguza muda wa safari?Hahaha Afrika wangapi wataenda 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
View attachment 2618344
Asante kwa hii connection mkuu 😁
Kaa mbali na mabonge. Kahangaike na gubu, mihasira na makelele ya vimbaumbau vyako huko 😬😬😬
It seems like you love pussies a lot! 😁
Mwamba kalamba sakafu?
Nadhani itakuwa ana njia nyingine ya kupunguza mudaSi angeanzia mwezini kwanza au hapa tu lower orbit kwenye satellites? Sasa kwenye Mars kwenda tu miezi saba duh! Au ana teknolojia mpya ya propulsion itakayopunguza muda wa safari?
View attachment 2618547
Duuuh ndo maana lebron yuko loyal kwa mkewe aseeeKawaida ya hawa weusi....
Huko mbele ya safari si ajabu utamsikia yuko bankrupt....
Na wakipata vihela tu wanakimbilia mabinti machotara au wa kizungu.....
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.HII NI KASWENDE SUGU
Ukichelewa kutibiwa Kaswende inaweza kukufanya ukawa kama kuku kishingo inakula nywele.
Dalili ya kwanza kabisa ya Kaswende ni kidonda ambacho huwa hakina maumivu, kinaweza kuwa sehemu yoyote kwenye mwili kuanzia sehemu za siri, kwenye ulimi au kwenye vidole.View attachment 2618485View attachment 2618486
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sijui kwann nacheka lkn hii ni noma sana asee