YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Nani achukue mbibi mkuuu saivi labda kama ana hela ila hivi hivi duuh ni uongo asee mabinti wa 20-23 unamwachia nani sasaNeema Ng'asha?
Muimba gospel?
Sasa hivi ameanzisha Foundation inaitwa sijui Strong Women sijui nini kumbe....
Ila 40 bado. Anaweza kuolewa na akazaa. Tatizo labda ni huo u strong woman!
