Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20230512_155214_Chrome.jpg
 
Njia nyingine ya kupunguza muda?

Sidhani maana siyo jambo rahisi. Inahitajika scientific/technological breakthrough kuweza kutoka kwenye hii propulsion technology tuliyonayo kwenda nyingine. Na mambo ya worm holes na time travel bado ni nadharia tu...

Ndiyo maana NASA kupitia program yao ya ARTEMIS wanapanga kwanza kuwa na ngome ya kudumu mwezini ili ndiyo waje waitumie kama launching pad ya kuendea Mars. Kwenye mwezi gravity ni kidogo sana na maroketi yanaweza kubeba supplies nyingi bila kuhitaji nishati kubwa....

Kwamba Elon Musk yeye mwaka kesho tu awe tayari keshajenga hoteli ya kudumu Mars na kupeleka watu. Sidhani!

Kama hoteli itakuwa hapa kwenye lower orbit ulipo mrundikano wa satellites na International Space Station sawa....
Basi kama ni hivyo itakuwa ni fiksi tu

Make Not every information is true 🤔😑
 
Ni fix...

Hana teknolojia ya kupeleka watu Mars mwaka kesho. Angesema 2030 huko au itokee breakthrough ya ku-triple speed ya maroketi ya sasa safari ichukue mwezi mmoja na siku kadhaa....
Hiyo teknolojia ya kutriple ndo kasheshe itakapoanzia hapo hapo sasa

Maana jamaa namwona anakesha twitter tu huku kwingine mmh sijui.

Na mpaka NASA washindwe hii ni next level asee, ila ngoja nione
 
Huyu yolo the queen nasikiaga raha nikimwona jamani duuh

Acha nitafute hela aseee simba namwonea wivu sana anavyowagonga hawa watoto wazuri ☺️☺️☺️😎

Ukiwa na hela unapata kila starehe unazotaka. Unaweza kuamini kuwa kuna njemba ilishawahi kumuagiza Cherokee D'Ass Serengeti ikakaa naye wiki 2 nzima?
 
Back
Top Bottom