Ni changamoto kwa kweli. Ni nzito na makorokocho kibao siyo sawa na hii tuliyoizoea.Nimei download imenishinda nikaifuta




Hatari.Tuache rasmi kuskiliza nyimbo usizojua zinakusudia nini ktk siri.
Punga Sam Smith.
View attachment 2589312
Hii kitu, vitiligo, inazingua sana. Inahitajika counselling ili ukubaliane nayo.Hiki ndicho Michael Jackson hakutaka....
View attachment 2589362
😂😂😂 wanaume wanakesha kuwatukana wanawake hasa masingle mama hasa humu Jf lakini , wanaume hao hao wameshangilia namna hakim alivyofanya sijaona wala hata kusikia hata mmoja akisema mali zake atamwandikisha baba yake . Hii imekaaje hawaamini Baba zao 🤣🤣😂😂😂😂Sasa atokee kidume amuoe mama yake Hakimi, ampelekee moto....
Kama mali za Hatimi zitaendelea kubaki salama basi aendelee kuwekeza kwa mama.
NB: Hata mama mzazi nae ni jinsia ya kike kama mkeo....
Kuna namna/mahala anakazwa na anaachia siri zote..... (ashakum si matusi), tafakuri ya bi Kasinde.
😂😂😂 wanaume wanakesha kuwatukana wanawake hasa masingle mama hasa humu Jf lakini , wanaume hao hao wameshangilia namna hakim alivyofanya sijaona wala hata kusikia hata mmoja akisema mali zake atamwandikisha baba yake . Hii imekaaje hawaamini Baba zao 🤣🤣😂😂😂😂
Huwa kuna tendency ya wanawake kupenda kufanyia shughuli zao au kupiga soga karibu na choo. Sijui ni kwanini.