Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

6a3b24170c69a43ef4b8b4642665830b.jpg
 
MARCO MATERAZZI AELEZA SABABU YA ZIDANE KUMPIGA KICHWA

Marco Materazzi amefichua alichomwambia Zinedine Zidane kwenye tukio la kihistoria katika Kombe la Dunia la 2006 nchini Ujerumani

Katika dakika 10 za mwisho za mashindano katika mechi ya fainali kati ya Ufaransa na Italia kwenye muda wa ziada na matokeo yakiwa 1-1, mmoja wa wachezaji bora zaidi wa wakati wote, Zinedine Zidane, alioneshwa kadi nyekundu baada ya kumpiga Marco Materazzi kichwa

kwenye mahojiano na IFTV, ya Italia Materazzi amefichua kile alichosema kwa Zidane.

"Zidane aliniambia Atanipa jezi yake baada ya mechi Nikasema 'hapana, napendelea dada yako'."

Je Ungekuwa wewe ungevumilia View attachment 2588218
Sio kweli , yule alimpa tusi la nguoni!
 
A couple, both age 78, went to a sex therapist's office. The doctor asked, "What can I do for you?"

The man said, "Will you watch us have sex?"

The doctor looked puzzled, but agreed.

When the couple finished, the doctor said, "There's nothing wrong with the way you have sex," and charged them $50.

This happened several weeks in a row. The couple would make an appointment, have sex with no problems, pay the doctor, then leave.

Finally, the doctor asked, "Just exactly what are you trying to find out?"

"We're not trying to find out anything," the husband replied.
"She's married and we can't go to her house. I'm married and we can't go to my house. The Holiday Inn charges $90. The Hilton charges $108. We do it here for $50...and I get $43 back from Medicare.
 
Back
Top Bottom