Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kule wanarogana hatari. Sitatoboa!
Looooh,nawe utatumia uchawi wa kidhungu babu
giphy.gif
 
Nakuelewa kiongozi, kuna tatizo kenye bara letu ila it's not all gloomy, kuna jitihada tu zinafanywa, kunao tunajaribu pia..

kidsoncomps.jpg
Nimekuelewa mkuu. Inabidi tujikongoje na ikibidi tukimbie kabisa maana tumechelewa sana!

Unaonekana hapa kwa shida siku hizi kulikoni? Huko Juba wamekuongezea majukumu ama nini?

Stay blessed bro
 
Nimekuelewa mkuu. Inabidi tujikongoje na ikibidi tukimbie kabisa maana tumechelewa sana!

Unaonekana hapa kwa shida siku hizi kulikoni? Huko Juba wamekuongezea majukumu ama nini?

Stay blessed bro

Ha ha ha tuna-balance tu hata wakiongeza majukumu maana hili jukwa letu pendwa ni muhimu sana, maisha ni haya haya tu, hatuna mengine na wala sio rehersal.
 
Back
Top Bottom