Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kama aligundulika kwenye 2015 lakini mpaka leo yupo, nahisi atakuwa kamrudia Mungu wake[emoji28]Alikuwa na stage 4 lung cancer. Survival rate yake ni ndogo sana lakini jamaa naona bado yupo. Legend! [emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16]mzee threesome imemrudisha nyuma kimaisha
Wanawake ni gharama sana hasa ukiendekeza. Wengi wmefilisika kwa njia hiyo![emoji16][emoji16]mzee threesome imemrudisha nyuma kimaisha
[emoji1][emoji1][emoji1] vitukoMahakama ya Tanzania imetangaza kumuondoa aliyekuwa mkaguzi mkuu wa serikali (CAG) Prof Mussa Assad na Magufuli kama KINYUME CHA KATIBA
*Lakini mahakama inakataa kutangaza uteuzi wa CAG Charles Kichere kama kinyume cha katiba
* Mahakama pia inakataa kumrejesha Assad kama CAG mkuu
Searching pear device