Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20221207-070719_Instagram.jpg
 
Membe alikuwa na Msemo wa "Niguse ninuke" kama ngao ya Kujikinga na Mizengwe kutoka kwenye Chama Chake.

Dr.Bashiru kaja na Msemo Mpya wa "Toboa Mtumbwi,tugawane Mbao"

Ndiyo unaowatishia Viongozi wa CCM Kumgusa,kuhofia Chama chao kufa kama watamgusa au Kumuita Ktk Maadili
20221207_122535.jpg
 
Ila kuna muda wanaume huwa nawaelewa. Unadate vipi na mtu wa hivi hata ningekua mimi ni ndio mwanaume nakula kona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni mbususu. Unakuta ndo anayo ile nene ka bumunda yaani imeumuka ka mkate wa bofulo halafu vuguvugu mnato kama wote mweh! Mtu inabidi tu uvumilie kadhia kama hizi maana ukijaribu kumpiga chini ukiikumbuka tu mbususu yake huyoo unarudisha majeshi. The power of p**ssy
 
Back
Top Bottom