naa
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 1,765
- 3,790
Huyu mjinga anawakula kweli kweli kondoo wakeJitie kichaa tu utawatafuna kimzaa mzaa tu #Ule mkono wa baunsa😂😂
View attachment 2269554
Halima jasiri sana anaitukana hadi Mahakama
Chuma bado usajili mpya kabisa kaidumbukiza mtaroni, mpaka inauma

Sisikii,iokoteUnitende ivyo mwenzio![]()

Tayari amesha siginwa huyoSababu ya misitu kukauka
View attachment 2270694
Siku hizi sijui anabong'olea wapi huyu dingi"Atake Asitake Tutamlazimisha "Najutia kutoa kauli kama lile Coz sikuwa tayari kusema yale maneno ila Shemeji yake Yesu ndo alinishawishi nianze kusema yale maneno ila kwa kweli Najutia sana, Sikuweza kurudi kwenye nafasi yangu Coz nimepigwa chini Sasa hivi watu wamenipa Jina hilo la Atake Asitake TutamlazimishaView attachment 2271054