Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1656144073998.jpg
 
"Atake Asitake Tutamlazimisha "Najutia kutoa kauli kama lile Coz sikuwa tayari kusema yale maneno ila Shemeji yake Yesu ndo alinishawishi nianze kusema yale maneno ila kwa kweli Najutia sana, Sikuweza kurudi kwenye nafasi yangu Coz nimepigwa chini Sasa hivi watu wamenipa Jina hilo la Atake Asitake Tutamlazimisha View attachment 2271054
Siku hizi sijui anabong'olea wapi huyu dingi
 
Unaweza kuwa na nia nzuri tu, Wataka kuoa.......ila ukishakumbuka kuwa utalaumiwa kwa kufanya mema na utalaumiwa tena kwa kufanya mabaya!!

Unabeba Whiskey yako unaachana na mawazo ya ajabu "kuoa" !!😎

NB: Bandiko halinihusu!!


 
Back
Top Bottom