Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,858
- 136,485
KwakweliStress nazo zina viwango vyake![]()

Unajikuta unasoma meme halafu unalia mwenyewe

KwakweliStress nazo zina viwango vyake![]()


Kwanini hukumwambia dokta kama Simba wanacheza ukatuharibia vipimo vyetuNimekumbuka hospital ya plan pale buguruni,
Niliambiwa nipeleke mkojo,mkojo nilikojoa kiasi then nilikuwa na bleed yaan,nikamwaga ule mkojo maana nilishaharibu
Nikatia maji,,,,nikapewa majibu kuwa nina mimba
Nikaambiwa nianze klinik chapuView attachment 2269703

Unadhani unajisikiaje pale unasoma meme halafu unakuta inakulenga 100%Kwakweli
Unajikuta unasoma meme halafu unalia mwenyewe![]()
Utoto banaKwanini hukumwambia dokta kama Simba wanacheza ukatuharibia vipimo vyetu![]()
. ilikuwa 2012Lazima machozi yakulengeUnadhani unajisikiaje pale unasoma meme halafu unakuta inakulenga 100%

Sasahivi ushakuwa mkubwaUtoto bana. ilikuwa 2012

Sahivi mkubwaSasahivi ushakuwa mkubwa![]()


Kifuani ni nyonyo ama alama ya kopa?
Hii ina ukweli wowote?
Kuingia kambi ya jeshi bila kunyoa ndevu zako.