Mkuu hawa huwa wanataimiana tu wote wana nguvu
Walah kesho kwenye valentine kuna dem wa mtu atafanyiwa hivi


Huyu aliyekamatwa ni chita. Mamba hamuwezi chui.Chui hana lolote kwa mamba, huyo hapo kamkamata alligator (sijui Kiswahili chake).....
Mamba ni shughuli nyingine bana...ona hapa, na uzingatie huyu ni mamba bado mchanga.
![]()
Vitu gani?
Huyu aliyekamatwa ni chita. Mamba hamuwezi chui.
Mamba humkalisha simba sembuse chui