Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20220213-153614.jpg
 
Mkuu hawa huwa wanataimiana tu wote wana nguvu

Amini ninapokwambia mamba ni hatari nyingine, fahamu bite force ya mamba yaani, pounds per square inch (PSI) ni 3,700 ilhali ya chui ni 300
Hao unao ona wakiliwa huwa alligators ambao hawana makuu.....
Mamba yupo kwenye top ten ya apex predator, maana kwamba kwenye food chain yake yeye ndiye mbabe on top na hana mwingine juu.

Ikiwa hata simba huogopa vita dhidi ya full grown crocodile...
 
Electreon Wireless, an Israel-based firm based out Tel Aviv is collaborating with Ford and DTE to deliver wireless charging technology to Detroit next year that will allow adapted electric cars to charge while driving in the United States. The electrified road will be around one mile long and will be positioned near Detroit's Michigan Central Terminal, an abandoned railway station that Ford is transforming into its "mobility innovation district". The EVs would require a special receiver to charge and the per car installation is estimated to cost anywhere between $3,000 - 4,000. However, Electron claims to reduce that price to $1,000 - 1,500.
FB_IMG_1644755761439.jpg
 
Back
Top Bottom