Vizuri wanatusaidia maana wanawake wataanza kuhaha kutuomba tuwagegede
Mzee wa threesome kazini
Mnachanganya vitu vingi sanaHuyu aliyekamatwa ni chita. Mamba hamuwezi chui.
Jaguar ndio anaekula alligators pia jaguar ni wapili baada ya fisi kwa bite force watatu ni mamba wa africaAmini ninapokwambia mamba ni hatari nyingine, fahamu bite force ya mamba yaani, pounds per square inch (PSI) ni 3,700 ilhali ya chui ni 300
Hao unao ona wakiliwa huwa alligators ambao hawana makuu.....
Mamba yupo kwenye top ten ya apex predator, maana kwamba kwenye food chain yake yeye ndiye mbabe on top na hana mwingine juu.
Ikiwa hata simba huogopa vita dhidi ya full grown crocodile...
Mamba humkalisha simba sembuse chui
Hata akiwa na hasira,mpeee tu,zitaishaaaa
Mambo hajawahi kuweza hata kiboko ambaye kwake ni chakula sembuse Simba? Sijawahi kuona picha mamba anaua simba ila kuna picha kibao simba anakula mamba.
Jaguar ndio anaekula alligators pia jaguar ni wapili baada ya fisi kwa bite force watatu ni mamba wa africa
Kweli asee now i know nilchanganya bite force na strong jawsNile crocodile ndiye anaongoza kwa bite force duniani, anamshinda hadi shark/papa
![]()