Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20220212_155531_320.jpg
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji24][emoji24][emoji24][emoji1545][emoji1545]
View attachment 2118072
Duh aisee imebidi niende niitafute hii habari, watu wanyama sana atakuwa amesukumwa na madawa huyu. Jamaa yake alikuwa anamshutumu kwa uzinzi.

Huyo binti ameolewa akiwa na miaka 12, na mpaka anafanyiwa huo unyama tayari alikuwa na mtoto wa miaka 3[emoji22]
Screenshot_20220213-094724.jpg
 
Back
Top Bottom