Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

[emoji16]
FB_IMG_1642066959870.jpg
 
Ni suala la wakati na Bahati
[emoji116]
Mhubiri 9
11 Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
 
Back
Top Bottom