Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1642076207531.jpg
 
Wow; that's a relief. Mungu aendelee kuwatunza. You are in my prayers always.
Mimi nimeshapona. Nimepima jana niko negative. Binti hali kadhalika japo kuna viishu vidogo bado anamalizana navyo. Kesharudi shuleni.

Asante sana kwa sala zako. Naamini tulikuwa katika maombi yako. Hatuna cha kukulipa ewe binti mwema wa Mungu
 
Ni suala la wakati na Bahati

Mhubiri 9
11 Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
Ni mtari wangu ambao nausoma kila nikifungua biblia inatia moyo sana
 
Back
Top Bottom