Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Moja ya mistari yangu pendwaaaa
Ni suala la wakati na Bahati
Mhubiri 9
11 Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.




hahahaha