Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Moja ya mistari yangu pendwaaaa
Ni suala la wakati na Bahati

Mhubiri 9
11 Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
 
Kwa nini Kigoma Vijijini?
View attachment 2062764
𝐀𝐬𝐢𝐥𝐢𝐦𝐢𝐚 𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐚 𝐡𝐮𝐤𝐨 𝐧𝐢 𝐰𝐚𝐥𝐨𝐤𝐨𝐥𝐞 𝐡𝐚𝐰𝐚𝐧𝐲𝐰𝐢 𝐏𝐨𝐦𝐛𝐞 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐲𝐚 𝐬𝐨𝐝𝐚 𝐭𝐮, 𝐭𝐞𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐬𝐨𝐝𝐚
 
IMG_1642015253794.jpg
 
Huku kwema kabisa, tunamshukuru Mungu. Vipi nyinyi mnaendeleaje, especially binti?
Mimi nimeshapona. Nimepima jana niko negative. Binti hali kadhalika japo kuna viishu vidogo bado anamalizana navyo. Kesharudi shuleni.

Asante sana kwa sala zako. Naamini tulikuwa katika maombi yako. Hatuna cha kukulipa ewe binti mwema wa Mungu
 
Back
Top Bottom