Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mungu Asante

Endelea kunilinda mimi pamoja na wapendwa wangu. Na memba wote wa uzi huu uwalinde Baba ili tuendelee kucheka na kufurahi kama ndugu japo hatujuani
IMG-20211126-WA0112.jpg
 
Mungu Asante

Endelea kunilinda mimi pamoja na wapendwa wangu. Na memba wote wa uzi huu uwalinde Baba ili tuendelee kucheka na kufurahi kama ndugu japo hatujuani View attachment 2024800
Amen, namshukuru Mungu hata sasa napumua.....mana juz nlipata ajali mbaya saana lkn nashukuru Mungu naendelea vzur. Gar imeharbika mnooo(me n dereva wa malori) lkn nashukuru Mungu nmetoka salama ingawa nina maumivu ya hapa na pale lkn nitakuwa sawa.​
 
Back
Top Bottom