Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,754
- Thread starter
- #86,421
Ana mikono ya kikeYanga yaachana na Kabwili kwa kosa la "Ulegevu wa mwili"View attachment 2024867View attachment 2024868
Ana mikono ya kikeYanga yaachana na Kabwili kwa kosa la "Ulegevu wa mwili"View attachment 2024867View attachment 2024868
HII PICHA LAZIMA RICK ROS TUMTUMIE View attachment 2024381
Hizo mara mbili wengine tulikuwa tunapiga kipindi maji Pomoni,this time around ni kunawa tu.
mamy kunywa MAJI mwengi kama mchepuko wangu ray kigosi utakua mweupe peeeeeeNkikua na me nitakuwa waiti ........au inategemea ntu na ntu
Maji yenyewe dawasco wanakata kila dk 😔 zoez litakuwa gumu, napaswa ninywe maji kuanzia lita ngapi kwa sku 😊mamy kunywa MAJI mwengi kama mchepuko wangu ray kigosi utakua mweupe peeeeee
Ki & Li [bamia]I mean .....
Paka alipotia timu kila panya akakimbia kivyake. Akiwemo mwenyekiti wao. Nani atamfunga paka kengele?