Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Sina tako

Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
.
giphy.gif
 
Zambian pastor James Sakara aliwaomba watu wa kanisani mwake wamzike huku akiwa amefungwa kamba na kuwaaminisha kua atafufuka na kurudi ndani ya siku tatu kama jinsi Jesus alivyofanya, kwa bahati mbaya hakuweza kurudi alikutwa tayari alishafariki. Askari polisi wamewashikilia wale watu wote waliyoshiriki kumzika kwa sasa wapo kituoni.

Swali langu sasa hapo watu hao Wanakosa lipi na wakati pastor mwenyewe ndio kaomba azikwe?

Screenshot_20211126-100730.jpg
 
Back
Top Bottom