Unajiungaje hili chama jamani....yaani i can imagine kazi yenu ni kupigia magoti misambwanda nakuibusu busu
HahahahaYajayo yanafurahisha....View attachment 2023235
Ngumu sana kutekeleza. Mungu na Atusaidie
Hii ni dini ya kweli kweli na inayoenea kwa haraka. Mwanzilishi wake ni huyu dogo anayejiita Mfalme Adonis na anasema alitembelewa ndotoni na kuamriwa kuanzisha hiyo dini. Kujiunga ni bure ila kila mwaka inabidi ulipie ada ya dola 250 na ada ya maisha ni dola 3,000.SYB ndiyo admin, wala usiende mbali.