moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,133
- 770,212
Hii mimi imeshanitokea japo hakutokea mtu aliyeniona (au tuliyekuwa wote) kwenye mgahawa wa mwanzo lakini hakiyamungu nakuhakikishia huli kwa amani tena katika kujishtukia shtukia hata unaweza kuropoka
Mkuu, huyo ni dobi anayeipenda kazi yake.
Hapo ndio unawahiwa, "baby kazime taa kwanza".