Nilidhani nimemaliza kila kitu kwenye Kiswahili... ni mpaka nilipokuta kuwa jiko la mkaa linaitwa seredani ndipo nilipogundua kumbe sina nijualoHa haaaaa haaa. Mie mwanzo nilidhani seredani (jiko la mkaa)
Yupo..Yule pacha mwingine kajitoa???
Msimfanyie huvyo Juma







