Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hii mimi imeshanitokea japo hakutokea mtu aliyeniona (au tuliyekuwa wote) kwenye mgahawa wa mwanzo lakini hakiyamungu nakuhakikishia huli kwa amani tena katika kujishtukia shtukia hata unaweza kuropoka

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Kulikuwa na shida gani kwenye hoteli ya kwanza? Msosi ulikuwa kidogo ama?
 
FB_IMG_1458237300124.jpg
 
Nilidhani nimemaliza kila kitu kwenye Kiswahili... ni mpaka nilipokuta kuwa jiko la mkaa linaitwa seredani ndipo nilipogundua kumbe sina nijualo

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Maneno ya mkopo hayo kutoka katika Kiarabu. Wenzetu huko wana uarabu arabu ujue hivyo haishangazi. Na lingua franca karibu zote zina tatizo hilo...
 
Back
Top Bottom