Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Kuna wakati anajisahau!Huyu mama kuna Muda anasahau kuwa yeye ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Huwezi kusema"Zanzibar yetu",jana tena kasema Ishu ya Maalim Sefu ni ya Wazanzibar,bila kujua kuwa Maalim alikua ni kiongozi wa Chama cha CUF na ACT ambavyo ni vyama vyenye sura ya Muungano.
Wasaidizi wamsaidie,apende kutumia maneno kama"ya wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla".
Au"ya waTanzani"...kuna siku alisema yeye ni Mzanzibari,bila kujua kuwa kujitambulisha kwa ukanda,udini,au ukabila si kitu kizuri.








