Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Maishani kutakuwa na dhoruba. Jinsi tunavyopambana na dhoruba hizo ndiyo kutaamua tunaishi maisha ya aina gani.
Lengo mojawapo la uzi huu ni kufurahi kamandaNimecheka kifala aisee, mzee baba we ni bonge la comedian.





Au amezira for no apparent reason...






Sio kukuamini kuwa upo single, tatizo vinakuwaga vimayaimayai!!
Huyu mama kuna Muda anasahau kuwa yeye ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwani wewe pesa!!
Hii inaitwa hakuna kutoroka hadi thamani ya nauli ikwishe.