Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Maishani kutakuwa na dhoruba. Jinsi tunavyopambana na dhoruba hizo ndiyo kutaamua tunaishi maisha ya aina gani.
Tumblr_l_102677392527497.gif
 
Huyu mama kuna Muda anasahau kuwa yeye ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huwezi kusema"Zanzibar yetu",jana tena kasema Ishu ya Maalim Sefu ni ya Wazanzibar,bila kujua kuwa Maalim alikua ni kiongozi wa Chama cha CUF na ACT ambavyo ni vyama vyenye sura ya Muungano.

Wasaidizi wamsaidie,apende kutumia maneno kama"ya wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla".
Au"ya waTanzani"...kuna siku alisema yeye ni Mzanzibari,bila kujua kuwa kujitambulisha kwa ukanda,udini,au ukabila si kitu kizuri.
 
Back
Top Bottom