Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Siyo wewe peke yako. Wengine mpaka wananitumia PM mizigo wanayokutana nayo huko mitaani. Nitafurahi sana na wewe ukianza kufanya hivyo

Halafu siku wananzengo wakija kugundua kuwa mwenyewe kumbe nimeoa kakimbaumbau tena flat screen sijui uso wangu nitauficha wapi mimi dah!

Legacy ya hovyo nimejijengea mimi. Hata siku nikidedi utasikia tu jamaa alikuwa anapenda misambwanda sasa kaiacha. Ai niidi tu chenji kwa kweli
Utauficha kwa kimbau mbau wako
 
IMG_20211106_070602.jpg
 
Nionavyo mimi Mbowe anaweza pigwa miaka ya kutosha watu mkabaki kushangaa.

Hizi habari zinakuja za upande mmoja tu,tena zinaoonesha mapungu ya mashahidi. Hakuna anayeleta habari za mashahidi pindi wanapotoa ushahidi konki.

Ushabiki unaweza sababisha siku ya hukumu watu wasiyaamini masikio yao.
Sidhani kama kwenye ushahidi kinachosemwa ni hivi vipande tu mnavyotuletea mitandaoni.

Tisubiri,muda utaongea.
Aah mimi nimeweka tu kama kituko mtandaoni sitaki kuingia huko kwenye siasa
 
Back
Top Bottom