Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20211106_014044_870.jpg
 
Yaan SHIMBA YA BUYENZE umeharibu akili yangu kila nikikutana na wadada wako mashallah lazima nikukumbuke[emoji851][emoji851]
Siyo wewe peke yako. Wengine mpaka wananitumia PM mizigo wanayokutana nayo huko mitaani. Nitafurahi sana na wewe ukianza kufanya hivyo [emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Halafu siku wananzengo wakija kugundua kuwa mwenyewe kumbe nimeoa kakimbaumbau tena flat screen sijui uso wangu nitauficha wapi mimi dah![emoji2099][emoji2099][emoji2099]

Legacy ya hovyo nimejijengea mimi. Hata siku nikidedi utasikia tu jamaa alikuwa anapenda misambwanda sasa kaiacha. Ai niidi tu chenji kwa kweli [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Siyo wewe peke yako. Wengine mpaka wananitumia PM mizigo wanayokutana nayo. Nitafurahi sana na wewe ukianza kufanya hivyo [emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Halafu siku wananzengo wakija kugundua kuwa mwenyewe kumbe nimeoa kakimbaumbau tena flat screen sijui uso wangu nitauficha wapi mimi dah![emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Nimecheka kifala aisee, mzee baba we ni bonge la comedian.
 
Back
Top Bottom