Darcyy
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 2,432
- 9,756
Ndivyo walivyoSio wote wanashindwa jitunza sababu ya pesaa,kuna watu duniani wanaitwa 'they don't care' hawa ni hatarii. Ninajamaa wako vizuri kiuchumi mara kumi kwangu,ila ni wachafu(nimekosa lugha nzuri ya kutumia). Yaani kuanzia kula Yao,vaa yao,magari yao ndio usiombe upande. Kiukweli kujitunza kunaanzia ndani mwa mtu kuuona umuhimu huo.
Imagine kuna mtu anajisifia ajaoga siku 5?!
Mapenzi ni kama utotoMapenzi kama mapenziii!!View attachment 1999963

Ata km umodo ndio fasheni. Aaaah ndo mwili gani huu?. Mi siwez kukubali kuwa iviKana njaa jamani mwenye donesheni ya ugali asisite....
View attachment 2000215
Sio kweli, nakataaEnzi zetu. Kutongoza ilikuwa kazi kweli kweli...mpaka ukapewe mbususu mweh!
Siku hizi ukishapewa namba tu kazi kwisha
View attachment 2000233View attachment 2000234
Nionavyo mimi Mbowe anaweza pigwa miaka ya kutosha watu mkabaki kushangaa.
Hamna mwafrikka hata mmojaUnaweza ukanitajia wangapi hapa bila kudesa? Karibu kila teknolojia tunayotumia kwa sasa kwa namna moja au nyingine inatokana na uvumbuzi wa mtu aliye katika picha hii...
View attachment 1997902
Simba akizidiwa hula hata nyasi....huwa navionjaga mara moja moja (# 2) ila lazima nivutie hisia kwa ma Yutong (#3+)....Wewe si ni wa upande wa pili, vitamu hivyo. Onja siku moja uje ulete mrejesho.


Wanaharakati watakwambia kwamba sisi ndiyo tulikuwa chanzo cha sayansi na teknolojia na kwamba Wagriki na Waroma wa kale walikuja kuiba maarifa yetu na kujimilikisha. Baada ya kuibiwa hayo maarifa naona tulipoteana kabisa kwa sababu mpaka leo bado tumepoteana....Hamna mwafrikka hata mmoja
Aaah kwakweli tumepoteanaWanaharakati watakwambia kwamba sisi ndiyo tulikuwa chanzo cha sayansi na teknolojia na kwamba Wagriki na Waroma wa kale walikuja kuiba maarifa yetu na kujimilikisha. Baada ya kuibiwa hayo maarifa naona tulipoteana kabisa kwa sababu mpaka leo bado tumepoteana....
Bado tumepoteana mkuu. Ona mambo tunayofanya.Aaah kwakweli tumepoteana