Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,941
- 12,503
Ako na 52Bro 75 big NO,huo umri si mchezo bro ungeona na ngozi inaanza vutika kidogo.
Nakumbuka ilitumwa humu,hazidi 60.
Ako na 52Bro 75 big NO,huo umri si mchezo bro ungeona na ngozi inaanza vutika kidogo.
Nakumbuka ilitumwa humu,hazidi 60.
Kubana nini?
View attachment 2000020
Kwakuwa tunategemea kupata taarifa kwa asasi zisizoeleweka, kuna wakati wanatulishwa matango pori.Mwongo. 75 parefu sana. Mi namzidi mwaka mmoja tu lakini nimechoka hatari. Huyu ni kati ya 45 na 60 period!
Uhuru, uhuru.Kazidisha katuni ama?
View attachment 1999822
Kuna muda na hela unazo za kutosha, nazo zinaharakisha kuzeeka kwako.Usiombe ukachakaa, halafu watu ulozaliwa nao wanaonekana wadogo zaid.........uchakavu unaletwa na kutokujitunza, kutokujitunza kunaletwa na ukosefu wa pesa


Wanawake mnapenda sana kudekezwaMapenzi kama mapenziii!!View attachment 1999963