Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,236
- 31,197
Cha kushangaza baa nyingi jikoni wanacontrol Wachaga au kwa sababu wapishi wanakuwa madume,Wachaga tuachwe, ahahah et michuz ming had dagaa wanafufuka.


Cha kushangaza baa nyingi jikoni wanacontrol Wachaga au kwa sababu wapishi wanakuwa madume,Wachaga tuachwe, ahahah et michuz ming had dagaa wanafufuka.


Tunataabika halafu wamejikausha tu!! Na akina Elon, Bilgate na Mack na wenzao! Ni huzuni kwakwelina aliambiwa yeye NDIO atasimamia urithi wa familia

SYB popote ulipo, mizigi yenu huku dogo anaelemewa.Ni vitu pekee wanaume tunaweza beba bila kulalamikaView attachment 1994496
Ni chakula ganiKitamu
Atafute mwanaume kutoka kwenye jamii yao ya wanyanyua vyuma.Dada yetu mpambanaji Nataliya ambaye ni mnyanyua vyuma vizito na mtunisha misuli anaonekana kunyanyapaliwa na wanaume, kwa majonzi na masikitiko makubwa analia kwakuwa wanaume wanamuogopa jambo ambalo linamfanya kukosa mchumba au mwanaume wa kuishi naye
View attachment 1994450View attachment 1994451View attachment 1994452



.Nadhani hiyo mikesha walifanyia chumbani badala ya kanisani


Muwe na mchana mwema na mwanzo mwema wa mwezi November,baraka za Allah ziwe juu menu woote.View attachment 1994500


InshaallahNi ukorofiiii!
Baabaa,naombe nitembee nawe milele,Simba wa yudaaa,anaungurumaaaa.....View attachment 1994495



Kwa hiyo na wewe bro hii ni ID ya kupigia uchimvi tu na kuweka memes na zile picha zako ili kujilindia heshima? Si ajabu unaweza kuwa ndo Mello mwenyewe aisee!Acha uchinvi, kutumia ID mpya kuna excitement yake. Kuna aina ya mijadala huwezi kuiingia kwa ID ya 2007 ambayo umeijengea reputation ya aina fulani, let's have fun.



Maza amenikosha sana!Kemea pepo View attachment 1994237

Watu na heshima zao za JF banaKwahiyo nawe ulifungua hii ya kufanyia ujinga![]()






Hakuna kuelemewa. Hata tufyatue magoti sawa tu. Yutong forevaaaSYB popote ulipo, mizigi yenu huku dogo anaelemewa.

