Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,858
- 136,485
Utanipa nini?...sitajagi majibu bureKwenye kikao hiki kuna paka 4, unaweza kuonyesha alipo paka wa 4?View attachment 1993469

Ankali

Utanipa nini?...sitajagi majibu bureKwenye kikao hiki kuna paka 4, unaweza kuonyesha alipo paka wa 4?View attachment 1993469


Endelea kucheka cheka ila hautaamini macho yako siku akiingia box, ukiachia mwanamke wako aendelee kujazwa maneno matamu ipo siku yatamuingia na hatkuja kukuhadithia kilichofuatia....ha ha ha ha!!!




Sipendagi ujinga mieHahahahahahahaDuuu.



Na vp km mdai ataamua kumuweka chumba cha uan ktk nyumba yake na kumgharamia mahitaj yote mpaka kifungo chake kitakapoishaCha kwanza mali zake zinazohamishika na zisizohamishika zinakamatwa na dalali wa mahakama.
Zinathaniniwa kuona kama zinafanana na madeni anayodaiwa.
Zitauzwa, atalipwa mdeni wake.
Ikiwa hazikidhi haja, mdeni anaruhusiwa kwenda kumuhifadhi jela kwa sharti la kumpelekea chakula mpaka amalize kifungo chake.








