Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_3205.jpg
 
Cha kwanza mali zake zinazohamishika na zisizohamishika zinakamatwa na dalali wa mahakama.
Zinathaniniwa kuona kama zinafanana na madeni anayodaiwa.
Zitauzwa, atalipwa mdeni wake.
Ikiwa hazikidhi haja, mdeni anaruhusiwa kwenda kumuhifadhi jela kwa sharti la kumpelekea chakula mpaka amalize kifungo chake.
Na vp km mdai ataamua kumuweka chumba cha uan ktk nyumba yake na kumgharamia mahitaj yote mpaka kifungo chake kitakapoisha
 
Back
Top Bottom