Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Huyu Mnyaki namkubali sana...Green City here I come 











. Wakubwa wanataka kutuzonga....Wakati Wachina wameruhusu mpaka watoto watatu...










This stupidity surprises me.
Nimecheka kama chizi, hands down man.Kwa hiyo na wewe bro hii ni ID ya kupigia uchimvi tu na kuweka memes na zile picha zako ili kujilindia heshima? Si ajabu unaweza kuwa ndo Mello mwenyewe aisee!
Wengine hatuna heshima za kulinda na kila mada tunatwanga na ID zile zile tu![]()
Usichukulie kila comment seriously.Kwahiyo nawe ulifungua hii ya kufanyia ujinga![]()






Sijakupinga kwa sababu sijui mtunzi alikuwa na maana gani nyuma ya hilo swali; binafsi kama ndiyo pepa ningejibu 12 pia. Niliona tu google wasomi wakijadili juu ya option nyigine ambayo jibu linakuwa 18
Mbingu nzuri ni ile ya mabikra aisee. Hii ya kuimba na kuabudu milele na milele dah! Ila zote ni bora kuliko kuchomwa moto milele na milele. Mungu na Atusaidie tufikie mojawapo!
View attachment 1994719
Wanahisabati katika ubora wenu. Hujambo Mtumishi? Nakutakia mwezi mpya wenye mibaraka kwako na wapendwa wako. Nikumbuke kumbuke katika maombi na mifungo yakoSijakupinga kwa sababu sijui mtunzi alikuwa na maana gani nyuma ya hilo swali; binafsi kama ndiyo pepa ningejibu 12 pia. Niliona tu google wasomi wakijadili juu ya option nyigine ambayo jibu linakuwa 18
Ukitumia formula ya Ax(namba ya juu)
9×10=90
8×9=72
7×8=56
6×7=42
3×6=18.
Wengine wakasimply tu hivi
9×10-(9×0)=90
8×10-(8×1)=72
7×10-(7×2)=56
6×10-(6×3)=42
3×10-(3×4)=18
Na wengine wakadai 3=3. Kwa sababu kimahesabu kila namba ni sawasawa na namba yenyewe binafsi. 9 haiwezi kuwa sawasawa na 90


