Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

2.67349680176194E18.jpg
 
Kama bado, nenda sasa ukapate chanjo yako View attachment 1960812
Siku ya kwanza kutaka kuchanjwa nilichelewa kwenda[emoji16]ikapita hiyooo

Jana dr ananipigia vipi nikuletee chanjo? Nikamwambia ndio lakini sipo nyumban nipo mbalii,
Nilivyorudi nikamtafuta akaniambia chanjo zimeisha[emoji23]maana naogopa sindano,
 
Nakaaga uan kwenye matukio ya kifamilia ikitokea kuna kazi mabint wanaitegea naipiga mwanzo mwisho wananichukulia km mtu wa kazi kumbe naficha udhaifu wangu wa kutokua na pesa kwenye michango huwa sisumbuliw
Ile pesa wangelipa labour huassume kama ndio ungechangia. Sio kwamba hawajui kua umesota, ni vile hawataki kupoteza nguvu kazi.
 
Siku ya kwanza kutaka kuchanjwa nilichelewa kwenda[emoji16]ikapita hiyooo

Jana dr ananipigia vipi nikuletee chanjo? Nikamwambia ndio lakini sipo nyumban nipo mbalii,
Nilivyorudi nikamtafuta akaniambia chanjo zimeisha[emoji23]maana naogopa sindano,
Unaogopa sindano? Ile sindano nyingine huwa unachomwaje? [emoji16][emoji16]

Katika umri huo labda uwe na ishu zingine. Sana sana wapeleke wazazi na babu na bibi wakachanjwe kama wangali hai. Hao wapo katika hatari zaidi kuliko wewe tineja!
 
Back
Top Bottom