Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_16331785661154750.jpg
 
SIO KUCHEKESHA, WATU WANARUDIA RUDIA SANA..KESHO UKIINGIA UNAKUTA HII ULIYOPOST HAPA MJINGA MMOJA NAE KAIPOST.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hakuna mtu aliye na muda wa kupitia post zote na kuanza kuchambua kituko kipi kipi kimepostiwa na kipi bado. Mtu unaona kitu huko kinakufurahisha unakiweka kumbe kuna mwingine ameshakiweka jana, juzi au asubuhi wewe hujakiona. Tatizo liko wapi hapo kamanda mpaka unaita watu wajinga?

Tupo hapa kufurahishana tu na kurelax; na mambo siyo siriazi kihivyo bana. Tuvumiliane!
 
Hakuna mtu aliye na muda wa kupitia post zote na kuanza kuchambua kituko kipi kipi kimepostiwa na kipi bado. Mtu unaona kitu huko kinakufurahisha unakiweka kumbe kuna mwingine ameshakiweka jana, juzi au asubuhi wewe hujakiona. Tatizo liko wapi hapo kamanda mpaka unaita watu wajinga?

Tupo hapa kufurahishana tu na kurelax; na mambo siyo siriazi kihivyo bana (at least for me!). Tuvumiliane!
Labda mnalipwa
 
Back
Top Bottom