Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kuna watafiti waliwahi kufanya utafiti wao na kugundua wanao kua on line mpaka mida hii huwa mara nyingi wako single
. Inawezekana
FB_IMG_16318792343608686.jpg
 
Alidhani ni rahisi kama kutamka alipokua anasema anakwenda kufungua nchi!

Ukiwa kiongozi huwezi kuwaridhisha watu wote katika mambo yote, wewe fanya lile ambalo hata nafsi yako haita kuhukumu kwa ubaya.
Anapaswa kusimama katika haki kama ilivyoainishwa katika katiba yetu. Kazi rahisi sana yaani!
 
Back
Top Bottom