Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20210917-105838_WhatsApp.jpg
 
Hapo ndipo shughuli ilipo. Na walivyo wa hovyo sikuhizi nimsomeshe awe anampikia muuza mkaa...never!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamsomesha hili uwe unakula chakula kizuri

Sasa wewe usifananishe na hao wa hovyo,,,,omba MUNGU Upate mke uendane nae,wapo we ng I wazuri kwa sura na vyote,

Kama wampenda kweli wataka awe mkeo,fanya akija kwako mkabidhi jiko ujionee,

siyo mnaenda kununua viepe kwa mpemba.
 
Unamsomesha hili uwe unakula chakula kizuri

Sasa wewe usifananishe na hao wa hovyo,,,,omba MUNGU Upate mke uendane nae,wapo we ng I wazuri kwa sura na vyote,

Kama wampenda kweli wataka awe mkeo,fanya akija kwako mkabidhi jiko ujionee,

siyo mnaenda kununua viepe kwa mpemba.
Mimi kumsomesha mtoto wa mtu hata kozi ya wiki,haitokaa itokee.
Mimi kumfundisha mtoto wa mtu kupika,haitokaa itokee.

Bora nijifunze mie,na kwa nini mwanamke asijue kupika!?
Ntakula huko kwa wapemba mpaka kieleweke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom