Japo ni ndoto kutokea,mi nataka tupigwe nyingi,ili akili itukae sawa.
Hata mkipigwa nying hatutoshangaa ila tutashangaa km mkifungwa chache km nne hv au tanoJapo ni ndoto kutokea,mi nataka tupigwe nyingi,ili akili itukae sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakua yule bint anaejitambulishaga kuwa yey ni modo wa ukwel
Wamama wapo vzr kwenye kuhifadh,Bi Mkubwa alinihifadhia mpaka kadi langu la klinik lile la ung'aa
Hata mkipigwa nying hatutoshangaa ila tutashangaa km mkifungwa chache km nne hv au tano



Unamsomesha hili uwe unakula chakula kizuriHapo ndipo shughuli ilipo. Na walivyo wa hovyo sikuhizi nimsomeshe awe anampikia muuza mkaa...never!!!
Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi kumsomesha mtoto wa mtu hata kozi ya wiki,haitokaa itokee.Unamsomesha hili uwe unakula chakula kizuri
Sasa wewe usifananishe na hao wa hovyo,,,,omba MUNGU Upate mke uendane nae,wapo we ng I wazuri kwa sura na vyote,
Kama wampenda kweli wataka awe mkeo,fanya akija kwako mkabidhi jiko ujionee,
siyo mnaenda kununua viepe kwa mpemba.